Lema afikishwa Mahakamani kwa makosa ya Uchochezi, aachiwa kwa dhamana!
Hali ya mji wa Arusha ni Kijibaridi na kumekucha kwa manyunyu,Watu wamekuwa ktk vikundi huku usafiri ukidaiwa kuwa wa taabu katika baadhi ya maeneo kutokana na wengi kuja kufuatilia Mashitaka dhidi ya Mbunge wa Arusha Mjini Kamanda Godbless Lema...source Jamii Forum
Nipo hapa clocktower naelekea mahakamani.Pamoja nanyi naitwa Julius George nitakuwa na makamanda wengi kukuletea LIVE COVERAGE:
============================== ============================== =
PICHA: Ndugu Godbless Lema akiwa mahakamani NA akiwa anatoka Mahakamani
============================== ============================== =
Moja ya mabango ya wadau walio kuwa nje
No comments:
Post a Comment