“Kama Nisingeshinda Tuzo Za Kili Mwaka Huu, Basi Hizi Tuzo Zisingekua Za Ukweli”….Fid Q


Msanii wa Hip Hop Farid Kubanda FID Q ambaye mwaka aliondoka na tuzo mbili za Kili ya msanii bora wa hip hop na mtunzi bora wa hiphop, amefunguka kuwa Bongo hiphop imepotea na ana mpango wa kuwafundisha wasanii, Fid Q ametaja tuzo alizowahi kushinda na kumbe mpaka kuna baadhi ya wanasiasa walimpongeza kwa ushindi huo, na kwamba kama asingeshinda tuzo hizo mwaka huu basi hizo tuzo zisingekuwa za ukweli.

SPORTS BOX

Phasellus facilisis convallis metus, ut imperdiet augue auctor nec. Duis at velit id augue lobortis porta. Sed varius, enim accumsan aliquam tincidunt, tortor urna vulputate quam, eget finibus urna est in augue.

No comments: