Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa marekebisho ya ratiba ya Ligi Kuu Bara na sasa Yanga na Simba watakipiga Oktoba 18.
Awali
mechi hiyo ilikuwa ipigwe Agosti 12, lakini TFF ikatangaza kuifuta ili
kuipisha mechi ya kimataifa ya kirafiki wakati Taifa Stars ikiivaa
Benin.
Jana usiku, ujumbe wa TFF ulikutana na ule wa Bodi ya Ligi na kulipitisha hilo.
Maana yake wiki hiyo imesogea mbele kwa wiki moja tu kutoka Oktoba 12.
Popular Posts
-
Mshambuliaji Alexandre Pato yuko jijini London, England kumalizia mazungumzo kabla ya kujiunga na Chelsea. Raia huyo wa Brazil aliye...

No comments:
Post a Comment