Huyu jamaa inaonekana likizo haikumtosha kunywa gambe hadi kuridhika, kiasi kwamba hadi ligi imeanza bado anaendelea kupiga tungi hadi asubui saa 3 ndio anarudi kwake akiwa chakali na gari lake.
Akiwa njiani na speed zake akamgonga muendesha baskeli na akili za pombe zikamwambia kimbia bado asubui hawezi kukuona mtu. Wakati anakimbia akaingia kwenye kituo cha kuweka mafuta na kutoka nje ya gari.
mchezaji wa zamani wa Manchester united Darron Gibson ambae hivi sasa anachezea club ya Everton ndie alifanya hicho kitendo.
Hivi sasa ameshafunguliwa mashtaka na kesi yake itasomwa tarehe moja mwezi wa 9 mwaka huu. polisi walimfuatilia na kumjua kumbe ni
![]() |
| Darron Gibson |
![]() |
| Darron akiwa ndani ya mkoko wake |


No comments:
Post a Comment