Andros Townsend: atua Newcastle kwa dau la pauni 12m

 

klabu ya Newcastle united jmemsajili  mwingereza  Andros Townsend kutoka Tottenham kwa ada ya pauni 12m .

Townsend mwenye umri wa miaka 24 amesaini  mkataba wa miaka mitano katika klabu hiyo.
Townsend amecheza mechi tatu tu katika Ligi Kuu msimu huu akitokea benchi na amecheza mechi moja katika michuano ya  Europa League mwezi Novemba hii ni baada ya kuwa na ugomvi na kocha Nathan Gardiner. 

SPORTS BOX

Phasellus facilisis convallis metus, ut imperdiet augue auctor nec. Duis at velit id augue lobortis porta. Sed varius, enim accumsan aliquam tincidunt, tortor urna vulputate quam, eget finibus urna est in augue.

No comments: