Tajiri
mamba moja duniani, Bill Gates leo alitembelea katika mazoezi ya kikosi cha
Everton kinachoshiriki Ligi Kuu England.
Gates
aria wa Marekani na tajiri mamba mona duniani alifanya ziara katika mazoezi
hayo ya Everton katika kuitangaza program ya Sport Relief.
Tajiri
huyo mwenye utajiri unaofikia dola bilioni 79 au pauni bilioni 55.5 aliongozana
na Cansela wa George Osborne.
![]() |
| Bill Gates akiwana baadhi ya wachezaji wa Everton pamoja na kocha wa timu hiyo |



No comments:
Post a Comment