DROGBA AGOMA KURUDI CHELSEA


Drogba

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba: hatorudi kujiunga na timu hiyo badala yake ataendelea kubaki ktk klabu ya  Montreal Impact.
 Drogba ataendelea kuichezea ligi kuu ya marekani Major League Soccer,  maarufu kama MLS akiwa na klabu yake ya Montreal Impact,
Montreal ilitangaza kuwa Drogba ataungana na timu hiyo katika pre-season training huku nchini Qatar.
Drogba mwenye umri wa miaka 37, alitweete kwenye accaunt yake ya tweeter "On way to Qatar to do some preparation work for pre-season."
Taarifa za mwezi desemba zilienea kuwa klabu ya Chelsea itamsajili Drogba kuwa kusaidia katika benchi la ufundi kama kocha.
Ratiba ya montreal impact itakavyo anza ligi kuu England MLS
Mon
07/03/16

Sat
12/03/16

Sun
20/03/16

Sun
03/04/16

Sat
09/04/16

SPORTS BOX

Phasellus facilisis convallis metus, ut imperdiet augue auctor nec. Duis at velit id augue lobortis porta. Sed varius, enim accumsan aliquam tincidunt, tortor urna vulputate quam, eget finibus urna est in augue.

No comments: