![]() |
| Stephan El shaarawy |
Mchezaji huyo aliyepachikwa jina na ‘The Pharaoh’ kutokana na kuwa na asili ya Misri El Shaarawy alianza vizuri kung’ara vizuri akiwa na Milan kabla ya kupata majanga ya majeraha.
Kwasasa amerejea kwenye ligi ya Serie A kwenye mji mkuu wa Italia kujaribu kurejesha makali yake ya mwanzo baada ya kumaliza mkaba wake wa mkopo kwenye na Monaco ambayo imeshindwa kumpa mkataba wa kudumu.

No comments:
Post a Comment