Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amesema hakutaka kuangalia
mkwaju wowote wa penati dhidi ya Stoke City zilizo pigwa katika uwanja wa Wembley katika nusu fainali ya kombe la Capital One,
hii ni mara ya kwanza mjerumani huyo kuwania kombe toka afike anfield.
wekundu hao walishinda kwa jumla ya penalt 6-5
dhidi ya stoke city waliopata ushindi wa bao
1-0 katika dakika 120 na kuzifanya timu hizo kuwa na sare ya bao 1-1,
baada ya Liverpool kushinda mchezo wa kwanza goli 1-0.
Klopp alisema : "si kuangalia
penalt nilikuwa nimejificha nyuma ya
wachezaji waliokuwa wakipiga penalt kwahiyo
nitaangalia kwenye television nyumbani ingawa inapendeza kuangalia pamoja
kwenye umati wa watu.
Liverpool itakutana na Manchester
City au ndugu zao Everton katika fainali
itakayochezwa February 28, na Klopp amesema:
"ni muhimu sana. Kuwaangalia wachezaji wangu wa kipambana katika fainal ya
kombe la capital one”
"kwa sasa nitaungalia mchezo
kati ya Everton na Manchester City,
Wembley ni sehemu tulivu kwa kuchezea mpira lakini lakini tutaenda pale
kushinda
![]() |
| Jurgen klopp |

No comments:
Post a Comment