Kagera sugar leo wamezinduka kwa kuwachapa Mbeya city FC 2-0

Wakatamiwa kutoka Misenyi mkoani Kagera, Kagera sugar leo wamezunduka kwa Mbeya city FC baada ya kuibukana ushindi wa goli 2-0 katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.

Katika mchezo huo, ambao ni wa kwanza kwa Kagera sugar toka wahamie katika uwanja huo, wakitokea katika uwanja na Ally Hassan Mwinyi mkoani Tabora, ambapo walikuwa na matoeko mabovu, walikwenda mapumziko wakiwa sare ya bila kufungana.

Mbeya city walijikuta wakiendelea kupoteza pointi katika michezo ya ligi kuu ya vodacom katika kipindi cha pili baada kuruhusu magoli mawili yaliyo ipa ushindi wa goli 2-0 Kagera sugar katika mchezo huo wa ligi kuu ya vodacom.
kikosi cha kagera sugar

SPORTS BOX

Phasellus facilisis convallis metus, ut imperdiet augue auctor nec. Duis at velit id augue lobortis porta. Sed varius, enim accumsan aliquam tincidunt, tortor urna vulputate quam, eget finibus urna est in augue.

No comments: