KOCHA WA MANCHESTER UNITED LUIS VAN GAAL AGOMA KUBWAGA MANYANGA


 LUIS VAN GAAL

kocha wa manchester united louis van gaal agoma kubwaga manyanga mwishoni mwa wiki hii kama ilivyo ripotiwa hapo awali.
van gaal, mwenye umri wa miaka 64, amesema alimwambia mtendaji makamu mwenyekiti ed woodward yeye atakuwa tayari kuacha kazi kufuatiakipigo cha jumamosi  caha bao 1-0 dhidi ya southampton.
kocha van gaal amefanya mazoezi na klabu ya manchester united leo  jumanne kujiandaa na  mchezo wa kombe la chama mzunguko wa nne siku ya ijumaa dhidi ya derby county.
mpaka sasa viongozi wa klabu ya machester united bado haijaweka wazi kulijadili swala la kocha lui van gaal.

SPORTS BOX

Phasellus facilisis convallis metus, ut imperdiet augue auctor nec. Duis at velit id augue lobortis porta. Sed varius, enim accumsan aliquam tincidunt, tortor urna vulputate quam, eget finibus urna est in augue.

No comments: