Novak
Jokovic ameendeleza ubabe wake kwa Andy Murray wa Uingereza kwa
kumshinda na kubeba taji maarufu la mchezo wa tenisi la Australian Open.
Katika
mechi hiyo ya fainali iliyopigwa mjini Melbourne, Australia, ushindani
ulikuwa mkali na kupelekea mechi hiyo kwisha kwa saw mvili na dakika 53.



No comments:
Post a Comment