Pato amejiunga na Chelsea kwa mkataba wa mkopo hadi mwisho wa msimu huu lakini kukiwa na kipengele cha kusajiliwa moja kwa moja kwa ada ya pauni milioni 7.
Ujio wa Pato kwenye kikosi cha Chelsea unaongeza ushindani wa washambuliaji kwenye kikosi hicho wakiongezwa na Diego Costa. Lakini uwepo wa Pato kwenye kikosi cha The Blues utasababisha mshambuliaji mmoja kati ya Loic Remy au Radamel Falcao atafute mahali pa kwenda.
Hizi hapa ni takwimu za Alexandre Pato katika maisha yake yote ya soka kwenye vilabu vyote ambavyo amaewahi kuvichezea.
Tazama rekodi zake hapa chini



No comments:
Post a Comment